Wednesday, July 27, 2016

Video: Mapokezi ya Gonzalo Higuain huko Juventus


Baada ya headlines za muda mrefu kuhusiana na mshambuliaji wa kimataifa waArgentina aliyekuwa anaichezea klabu ya Napoli Gonzalo Higuain kuhusishwa kujiunga na Juventus ya Italia, July 26 zilithibitika na leo July 27 2016 Higuain amepokelewa rasmi Juventus.
Higuain amewasili leo July 27 katika mji wa Turin Italia ambapo ndio makao makuu yaJuventus na kupokelewa na umati wa mashabiki wa klabu hiyo, Higuain aliripotiwa naSky Sport kusaini mkataba wa miaka minne na Juventus na utamuweka Turin hadi 2020, uhamisho ambao umeigharimu Juventus kiasi cha pound milioni 75.3.

No comments:

Post a Comment