Showing posts with label General. Show all posts
Showing posts with label General. Show all posts

Thursday, July 28, 2016

Aunt Ezekiel Akimbilia Gym Kuokoa Penzi Lake



Staa wa filamu, Aunt Ezekiel aliye katika mapenzi na Dansa Moses Iyobo, ameamua kukimbilia gym kwa ajili ya kupunguza unene unaomuandama ili kulinusuru penzi lake.

Akizungumza na Za Motomoto News, Aunt amesema ameanza mazoezi ya nguvu kila asubuhi ili aweze kupunguza mwili aendane na mpenzi wake kwani mwili wake ni mkubwa kuliko wa mwenzie.

“Daah, nimeona nitapoteza penzi langu bure, nimekuwa mnene kumpita baby kitu ambacho siyo sawa, nilikuwa na kilo 87, hivi sasa nimepunguza kilo sita,” alisema.

Mrembo Tunda Afunguka Kumwagana na Mwanamuziki Young D



Mrembo mwenye umri mdogo muuza sura Bongo, Tunda Sebastian amefunguka kumwagana na mwandani wake wa muda mrefu, ambaye ni staa wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young D’ na kusema ameamua kujiweka kando kwenye maswala ya mapenzi.

Akipiga stori na Showbiz Xtra baada ya kumbananisha kuhusiana na tetesi za uhusiano wake kuvunjika kutokana Young D kubaini anatoka na mwanamuziki mwenziye (jina kapuni) ndipo akaeleza kuwa, ishu hiyo haina ukweli ila ameachana na mwandani wake huyo kwa sababu ambazo hawezi kuzianika kwa sasa.

“Hayo ya kutoka na huyo msanii si kweli na kuhusu Young D nimeshaachana, sifikirii kuwa na msanii yeyote na sihitaji mpenzi kwa sasa,” alisema.

Kajala Masanja amlilia Mume wake Gerezani


Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ hivi karibuni amekwenda kumlilia mumewe, Faraji Chambo anayetumikia kifungo cha miaka kumi na mbili gerezani.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Kajala, mwanamama huyo alitinga kwenye Gereza la Ukonga, Dar alikofungwa mumewe ambapo alipata nafasi ya kumjulia hali kisha kumwaga machozi akimuonea huruma anavyosota gerezani hasa akikumbuka walivyokuwa wakiishi kabla ya msala huo.
Katika safari hiyo, Kajala aliongozana na mwanaye, Paula Paul na mdogo wake Kajala ambao ndiyo waliokuwa wakimtuliza staa huyo ambaye alisababisha mumewe naye kutokwa machozi.
Akizungumzia ishu hiyo, Kajala ambaye wiki iliyopita alizindua filamu yake kali ya Sikitu alisema kuwa ni utaratibu wake wa mara kwa mara kwenda kumjulia hali mumewe huyo ila mara zote huwa anakwenda kimyakimya.
“Huwa nakwenda mara nyingi tu sema ndiyo hivyo huwa sipendi kuongozana na msururu mrefu, namshukuru Mungu anaendelea vizuri,” alisema Kajala. Machi 2013, Kajala na Faraji walihukumiwa ambapo Kajala alitakiwa kwenda jela miaka mitano au faini ya shilingi milioni kumi na tatu na mumewe miaka kumi na mbili au faini ya shilingi milioni mia mbili kwa kosa la kutakatisha fedha haramu kwenye Benki ya NBC, Tawi la Dar.
KajalacropHarusi
Hata hivyo, Faraji alishindwa kulipa kiasi hicho cha fedha na kujikuta ‘akiozea’ gerezani huku Wema Sepetu ‘Madam’ akimlipia Kajala faini ya shilingi milioni kumi na tatu, iliyomnusuru kwenda jela.

Tuesday, July 12, 2016

Shilole aka Shishibaby Stuns on new Photos


Hitmaker of 'say ma name' shilole has been in taking pics of herself showing her $exy body since after the end of Holy Month of Ramadan, without thinking what should learn from Ramadan, Recently, Shilole on her Instagram account has shared pics flaunting her thighs, she looks so $exy

Saturday, July 2, 2016

HULU & MTV'S SUMMER HOOK-UP


TV for Every Side of Summer
Sweet, rebellious, or anywhere in-between, Hulu and MTV are teaming up to give you the best lineup since Coachella. Gas up the grill, it’s going to be a wild summer.

Tuesday, June 28, 2016

Bongo movie actress Beautiful Photos


Tanzania actress are really beautiful.
36d5cdcae7ad11e2b13b22000a9e0790_7
Wema Sepetu (born 1988) is a Tanzanian beauty contestant who won the Miss Tanzania contest in 2006.[1] She represented Tanzania in Miss World 2006 which was held in Poland. She later on achieved fame and popularity in her home country by acting in Tanzanian Films.
After winning the coveted title of Miss Tanzania in 2006, Wema traveled to WarsawPoland to compete in the Miss World 2006 however she failed to enter the top 17 semifinalists.[2]


Acting career

After her stint at beauty contests, Wema ventured into Tanzanian films as an actress and has since gained a lot of popularity in her country. It was Steven Kanumba who first introduced her to the film industry.
IMG_9680rrr

Monday, June 27, 2016

See singer's 1st picture of Diamond Platnumz with his daughter


The picture was shared via Tiffah's Instagram account today, and it shows the hit singer holding his daughter's hand and smiling lovingly at her.

Hot Pictures : Wema Sepetu Posted on Instagram


Wema Sepetu Instagram;In the process of hooking and dumping, Tanzania super star actress didn’t play it smart since some of her  photos have leaked to the public that she posted on Wema Sepetu's Instagram.

Enyoy with mau fundi Comedy @1


Enjoy with Mau fundi Comedy that trending in Youtube channels and leave comments down >>>>>

Watch Stars of the Night life - Jamaica


10:17 Brooklyn Jamaican Fight From Inside To Outside Club Half Naked Crazy Brawl

Vera Sidika enjoying in Swimming Pool

See the beautiful Vera Sidika enjoy in swimming pool and have just underwear.

Bongo star's Wife Shaking as* very romantic

This Is The One Big Lesson That Kenyan Socialites Can Learn FROM HER never doing that....

Bongo movie actress twerk Baikoko..Shame!!!!!!!!

Download Video Baikoko Leumbeul Dance Sexy 3GP MP4 

FLV MP3 search movies, official vevo music videos, lyrics, 

funny, prank and more with Youtubemp4.com

Shilole Twerk Very Hott

Musician an actress from Bongo #Shilole Twerks very hot watch the video below

NEWS: how famous Tanzania model Gigy money showed herself in Instagram (pictures 18+)


Gigy money is living the life of her own government and her own rule thus how it is
That's why she has continue to be controversial on Instagram and people have used to her like that and that is what is giving her name
  

VANESSA MDEE & IDRISS SULTAN GET VERIFIED ON THEIR INSTAGRAM ACCOUNTS


Muimbaji wa kike Vanessa Mdee anayezidi kupanda kwa kasi pamoja na Our very own comedian Idris Sultan wamepata katiki cha Instagram..yaani wamekuwa verified. Wengi wanauliza kama it is a big deal..Yes it is kwasababu inamaanisha kuwa unatambulika kidunia na it does not matter una followers wangapi.
Watanzania wengine waliokuwa verified ni Diamond Platnumz na Flaviana Matata aliyekuwa wa kwanza kupata katiki

Bongo Movie Actress Elizabeth Lulu Michael wishing You Ramadan Kareem Under Hijab wear



  • Bongo Movie Actress Elizabeth Lulu Michael wishing You Ramadan Kareem Under Hijab wear
  • dinsta

Bongo Movie Actress spotted wearing Kanga Moko


This is Exclusive photo from Instagram that you have never seen it before.

Zari na Wema Sepetu watukanana Instagram, soma walivyovuana nguo!


Vita vikali vya maneno vimezuka Instagram kati ya Zari the Bosslady na Wema Sepetu. Vita hivyo vilianza baada ya kile kinachoonekana kuwa ni maneno kutoka kwa kambi ya Wema Sepetu kwenda kwa Mama Tiffah.
Zari aliamua kutoa ya moyoni kwa kuweka comment kwenye post yake mwenyewe baada ya matusi kutoka kwa kambi ya Wema kuzidi.
“Fake cars, fake houses, fake men, fake everything but they are here to judge.. yall look like just had a fight with a tiger,” aliandika Zari.
“We feel your pain Dee is a loving man. I know what you u missing but guess what, I gat it all by myself. Sent to hell on a one way ticket buried 6ft under #Kasepa #HeIsHappyNow,” aliongeza.
Wema aliamua kutokaa kimya, naye alijibu mapigo.
“Damn, she really got da energy,” aliandika.
“Mi siwezi jamani mambo haya. Kaka kajua kumchanganya dada. Sasa kama kachanganyikiwa si yeye. Mi ningejua kuwa kuna siku nitakuja kummiss kaka nisingemwacha. Akumbuke hilo kwanza. Halafu kingine, hivi mimi ni mwanamke pekee niliyewahi kuwa na kaka au?”
“Maana wenzangu naona hawatajwi ni Wemaa tu. Kuna kitu dada anakitafuta kwangu jamani. Sasa dada kama atasoma hapa ajue this is 2016, afanye mabadiliko basi maana tokea 2014 ana mimi tu, 2015 ana mimi tu na 2016 pia! Baby hujachoka tu bado? Nimejibu kwa mara ya kwanza maana naona umekuwa ukinitafuta muda mrefu mno. Mi maneno kama hayo yako sijui fake nini sinaga. But just if u read this honey, please nitoe kwenye ramani yenu. I no longer live there. And kuhusu kuwa fake, mi nishakubali na fake life yangu ila ningeomba utuwekee DNA ya Baby Tee kwanza. Pumbavu.”
Zari aliusoma ujumbe huo, akajibu:
“Ati DNA for what let her start na DNA ya Swiss then atupe ultrasound kisha ampime mtoto wake then she can ask for Tiffah’s. Hujawahi kuingia labour at unaomba DNA. Wachana na mambo ya wazazi. Endelea kugawa that’s the only thing you can manage. Mtoto wangu asikupe stress don’t beef with a baby, find you levels, Tiffah level nyingine# BabyBoss.”
Wema alituliza mizuka kwa kuandika post: Mama Taught me well…!! Kugombana na mtu mzima ni kukosa adabu…. Sijafunzwa hivyo…!”

Job Opportunity at Vodacom Tanzania, Manager IT Services Delivery & Application Support



JOB TITLE:MANAGER IT SERVICES DELIVERY & APPLICATION SUPPORT

Manager IT Services Delivery & Application Support - 222222



Role Purpose




Reporting to the head of IT Systems and Service Delivery, Manager for IT Services Delivery & Application support will be responsible for managing the overall corporate applications and IT help desk. This includes managing the in scope systems end to end (OS, DB and Application).The systems in this scope includes the following
Active directory and other linked systems like ARM and IRS and Ms Exchange
File server
Profiles server and CCKB
Remedy
Hr payroll
Corporate website
Printing
Encryption
SCCM
Intranet/Sharepoint
Survey
Antivirus




Role Requirement



Essence of the role/Key
Accountabilities



Key Activities / Decision Areas



End user support.(Operations)



Responsible for the overall end user support services for all the services/functions that the IT offer to the internal customers/staff. Responsible for the performance of the service desk functions.



SLA management



Establish the SLA between the IT and business and manage the SLA between the IT and the customers, ensure the SLA is reviewed between the customer and IT and necessary survey are conducted for the overall performance of the IT services. Establish and manage the Operational Service Agreements between the back office support teams and the service desk.



Inventory management



Responsible for the IT asset management, checks and controls and all the time have the correct and updated asset information.




Systems Management



Patch management is done according to patch management policy. All systems in the scope should at any point in time comply with the patch process and have latest approved security patches



All in scope systems have backup



All the restore tests are performed as per the approved restore test plan.
All TRPs are updated according to the system changes
TRP test is performed as per the BCM plan
The findings are resolved according to the committed timelines (Audit, penetration tests, and vulnerability scans e.tc.) as per the agreed timelines.
Monthly user access reviews is done
Compliance to security policy and procedures
Systems hardening is done as per the hardening process
Monthly super user logs reviews with evidence and signed off monthly is done as per the policy
Should ensure all the above mentioned task is done for in scope systems and for any other systems that may be added at the description of the Line Manager
Ensure all the systems are configured in monitoring tools for different alerts





The in scope systems are managed end to end from OS, DB and Application level. Details of the systems are Innovation



Establish the roadmap for the Enterprise Service Desk and ensure that the roadmap is implemented as agreed, establish the Key Performance Indicators and key success factors for the Service Desk and ensure that are measure correctly for daily service delivery improvement



IT standard Compliance



Responsible for the overall implementation of the ITIL methodology across the organization for the quality service delivery of IT services and overall performance of the Vodacom business.



Responsible for overall security to the systems in scope and ensure its compliance to technology audit checklist

Budget management



Budget Management. Responsible for the proper and appropriate acquisition and procurement of the IT office automation tools as per the business needs including but not limited to computers, photocopiers, printers, scanners and consumables, software, etc by providing proper and correct recommendations to the head of section and management.



People Management



Manage and motivate people under the section and ensure that they are doing their responsibilities as required.




Reporting



Reports – on the weekly/monthly IT services performance on the SLA, Asset



Job Specific Requirements



Must be flexible to work on the dynamic and demanding business environment



• Irregular Hours
• Ability to manage stress and pressure of job
• Effective time-management is essential




Competencies (Knowledge, skills and attributes)



Person Specification



Competency / Performance Drivers



Technical / Professional Expertise




• Team Leader (Motivator)




• Practical
• Conscientious
• Emotional Control
• Integrity
• Logistical
• Decisive
• Good Judgment



Adaptable
• ITIL/Cobit knowledge



• ITSM knowledge



• Project Management Tools



• Operating Systems/Office Applications



• Project Leading Management



• IT Methodology



• Audit and compliance knowledge



Qualifications



• B.Sc.,



• CISA/CISM



• MBA is an added advantage.





Experience



• Min. 3 years in Telecommunications, banking industry or any industry with more than 400 desktops/laptops



• Min. 2 years project management experience



• Min. 5 years IT experience



• Min. 3 years management experience



• Min 2 years in auditing and risk management activities.




Leadership Competency Requirements




• Builds Commitment





• Motivating Others



• Providing Leadership and Direction



• Supporting the Organization



• Employee Development



• Employee Relations